Kama ni mapenzi — аккорды для гитары

KidumТональность: A5K просмотров
Тон0
Шрифт
×1.0
Аккорды:
A
×
E
B
2×
D
××
A E
kama ni mapenzi
BD
ya kuniudhi kila saa, ya kunifanya mi kulia
A E
na kama huridhiki
BD
na mbona hujasema, ili niweze rekebisha
A E
ilifaa ni mambo shwari
BD
nikiamini u kwangu, na kukusifu kwa wazazi
A E
hujali tena hisia zangu
BD
sijui tunapokwenda, lakini najua tulipotoka
BA E
kutoka sitoki nimetekwa nyara
BA E
kukuwacha siwezi kibarua ngumu
BA E
nashindwa ni nini ntafanya uridhike
BA
nimetekwa ndani, mtandao wa mapenzi
E
basi nakuomba, uniteke tu bila mateso
A E BD
tazama, nimezama, ndani ya bahari, la penzi lako
A E BD
siwezi, kusonga mbele, kurudi nyuma, sijielewi
A E B
haya mapenzi ya fujo hayafai
A E B
kama wanipenda, jaribu kunipa raha
A E
mi nashangaa, watu wakisema
BD
eti tunapendana, japo tunazozana
A E
ni vizuri mami, kumba kuwa na siri
BD
lakini jaribu, tusuluhishe
A E
bila hivyo, itakuwa mteso
BD
wa kuigiza, kwenye mambo bandia
A E
mimi sitaki, mambo ya kujifanya
BD
ati tunapendana, tena tunatesana
BA E
nimejaribu sana kujitoa ndani
BA E
kila nikipanga napangua mwenyewe
BA E
natamani sana ungeelewa hivyo
BA E
mimi mateka, mimi pumbavu (mabusu), wa penzi lako
nieleze ni lini ntakuwa huru
tazama, nimezama...
jaribu baby...mambo, ya kunifanya kumbafu haifai
mambo yo yo yo yo yo...haifai, jaribu baby, tusuluhishe
nimejaribu sana kujitoa ndani...
tazama, nimezama...
haya mapenzi ya fujo hayafai
kama wanipenda, jaribu kunipa raha...(ad libitum)